Unknown Unknown Author
Title: FUNUNU:: D’BANJ ATEMWA “GOOD MUSIC LABEL” YA KANYE WEST, SOMA HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
D'banj atemwa Good Music Label, hizi ndizo fununu kila sehemu kwenye social network kuhusiana na mwanamuziki kutoka Nigeria kutemwa na l...

clip_image001D'banj atemwa Good Music Label, hizi ndizo fununu kila sehemu kwenye social network kuhusiana na mwanamuziki kutoka Nigeria kutemwa na label inayoongozwa na mwanamuziki Kanye West kutoka nchini Marekani.

D'banj alisema kuwa hajatemwa wala kuachana na Good music, bado yupo chini yao na yeye na kaye (Kanye) bado wanafanya kazi pamoja na hivi karibuni ataachia video yake ambayo amemshirikisha Kanye West.

Fununu hizi zilisambaa zaidi baada ya siku kama takribani nne nyuma, D'banj kufuta moja ya info zake kwenye ukurasa wake wa Twiiter uliokuwa unasomeka 'GOOD MUSIC LABEL'.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top