Eti na huyu nae Atajiita mzazi na Mlezi anayetoa malezi bora kwa mwanaye kwa kumpatia mwanaye Pombe badala ya Vyakula/vinywaji vya kujenga mwili vyenye virutubisho vya kurutubisha mwili wake.
Kiukweli Inaumiza, tubadilike na Kumbuka Mtoto Umleavyo ndivyo akuavyo …..
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.