WADAU: KASUKA NA SALOME WAMEREMETA WILAYANI KILWA

ndoa.6Sherehe ya Harusi ya John Kasuka na Salome Joseph iliyofungwa katika kanisa la KKKT Kilwa Masoko mkoani Lindi na baadaye mnuso wa nguvu katika ukumbi wa PEC hotel(kwa sultan)ndoaWadau John Kasuka na Bi salome Joseph wakiwa na nyuso za furaha
baada ya kumeremetandoa.3
Kasuka na Salome wakiwa katika Taswira ya kumbukumbu na
wanakamati walioandMnuso huo,,BIG UPndoa.2

ndoa.4Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa Addoh
Mapunda ambae ni mwajiri wa bwana harusi akiwapongeza vijana wakendoa.5
Globu ya Jamii inawapongeza na kuwatakia maisha ya heri na ya furaha na yenye watoto kibao.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post