Unknown Unknown Author
Title: WADAU: KASUKA NA SALOME WAMEREMETA WILAYANI KILWA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Sherehe ya Harusi ya John Kasuka na Salome Joseph iliyofungwa katika kanisa la KKKT Kilwa Masoko mkoani Lindi na baadaye mnuso wa nguvu kati...

ndoa.6Sherehe ya Harusi ya John Kasuka na Salome Joseph iliyofungwa katika kanisa la KKKT Kilwa Masoko mkoani Lindi na baadaye mnuso wa nguvu katika ukumbi wa PEC hotel(kwa sultan)ndoaWadau John Kasuka na Bi salome Joseph wakiwa na nyuso za furaha
baada ya kumeremetandoa.3
Kasuka na Salome wakiwa katika Taswira ya kumbukumbu na
wanakamati walioandMnuso huo,,BIG UPndoa.2

ndoa.4Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa Addoh
Mapunda ambae ni mwajiri wa bwana harusi akiwapongeza vijana wakendoa.5
Globu ya Jamii inawapongeza na kuwatakia maisha ya heri na ya furaha na yenye watoto kibao.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top