UJIO MPYA WA MWANA FA YAFIKIRIWA KUTOKA NA DIAMOND PLATNUMZ MARA BAADA YA PICHA HII

clip_image003Kupitia ukarasa wake wa Facebook rapper Mwana Fa ameachia picha hiyo akiwa studio na msanii Diamond.

Hii inafikiriwa kuwa wawili hao kuna kitu wanakipika kwa pamoja ilikuja kuwapa radha mashabiki wao wa muziki nchini na Duniani kote.

KAA MKAO WA KULA KUTOKA KWAO

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post