NA HAYA NDIO MATOKEO YA MCHEZO WA LEO LIVERPOOL Vs ARSENAL BAADA YA DAKIKA 90

liverpool cerebration 
Mchezo ukiwa umemalizika katika uwanja wa Anfield mjini Liverpool, Liverpool wametoka kifua mbele kwa kuwafunga Washika Bunduki Magoli 5 bila ya huruma dhidi ya goli la Arteta 1 aliloifungia timu yake ya Arsenal kwa Mkwaju wa Penalty
VIDEO YA MAGOLI HII HAPA
Wafungaji wa Timu ya Liverpool leo hii ni

  • M. Skrtel 1dk
  • M. Skrtel 10dk
  • R. Sterling 16dk
  • D. Sturridge 20dk
  • R. Sterling 52dk
  • Post a Comment

    Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

    Previous Post Next Post