Leo ikiwa ni siku ya Kuzaliwa Kwa Mlimbwende Miriam Odemba ambaye amesha wahi kushinda taji la Miss Earth Air 2008 leo hii amesherehekea birthday yake na followers wake kwa kupost picha Mbalimbali,Picha iliyovuta hisia za wengi ni Picha hii aliyopost akiwa nusu mtupu yaani amejiziba sehemu zake nyeti tu kwa kutumia vitu vya asili vilivyofumwa na Shanga. Je ndio Kimodo Modo Hivi au hapa Amepitiliza unkizingatia yeye ni Muafrika na Hasa Mtanzania je Maadili yake sasa yako wapi au ndio uzungu huo?
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.