Katika Pita pita Yangu mtandaoni nikakutana na hii post katika moja ya Mitandao ya Kijamii kutoka kwenye acount ya Msanii wa maigizo Aunty Ezekiel akimshukuru mungu huku picha ikimuonesha amewekewa drip na yu Kitandani, hii ni dhahiri yuko hospitali na anahitaji maombi yenu.
Msanii huyo hajaweza kuweka wazi nini kimepelekea kuwepo hapo na ni hospitali gani aliyopo zaidi ya kumshukuru mungu kwa hali aliyonayo hivi sasa.
Ni kujitowa kwa Mungu mwili roho na nafsi,Mungu aitawale ,maana bila yeye hatuwezi lolote,kumbe tufahamu kuwa maisha yetu yako mikononi mwake,Mungu atakuchunga kama unamtegemea.
ReplyDelete