KARA JEREMIAH NA DONGO KWA DIAMOND PLATNUMZ, HEBU JIONEE ALICHOKIFANYA MSANII HUYU

Kala Jeremiah 2Je unazungumziaje Uamuzi huu wa Kala Jeremiah Kupost Mabishano Kati Ya wasanii wenzake wawili hawa Kati ya Diamond Platnumz na Ally kiba wakirushiana maneno. Mawazo yako ni uamuzi wa busara alioufanya au ndio anachochea mgogoro uliopo kati ya Wasanii hawa wawili? au anataka wapenzi wake wajue nini kinaendelea kati ya watu hao wawili HEBU TUPE ONI LAKO..!!

Post yenyewe ni Hii Hapa:

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post