ANGALIA JINSI UZINDUZI WA ALBAM YA BENDI YA EXTRA BONGO ILIVYO FANA HAPO JANA

clip_image001Kiongozi wa Extra Bongo, Ally Choky (kushoto) na Muumin Mwinjuma wakiimba kwa pamoja katika uzinduzi wa albamu ya Mtenda akitendewa usiku huu Dar Live....Banza Stone mmoja wa vivutio....Ally Choky (kushoto) na Banza Stone.Bendi ya Extra Bongo imezindua albamu yake ya ‘Mtenda akitendewa’ hapo jana katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakheem jijini Dar ambapo maelfu ya mashabiki wamehudhuria!

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post