FA CUP ndio Kombe la mwisho kwa Arsenal kutwaa tangu Mwaka 2005 na Ijumaa wao ndio wataanza kucheza Mechi za Raundi ya 4 wakiwa kwao Emirates na kupambana na Timu ya Daraja la chini Coventry.
Wenger ametamka: “Nilibahatika kulitwaa mara 4 lakini bahati mbaya hatujashinda kwa muda mrefu na sasa natilia mkazo kutwaa FA CUP.”
Hiyo Ijumaa pia ipo Mechi nyingine ya FA CUP kati ya Nottingham Forest na Preston na Jumamosi zipo Mechi 12 wakati Jumapili zipo Mechi mbili.
Kwa sababu ya Mechi hizi za FA CUP, Ligi Kuu England haitachezwa hadi Jumanne Januari 28 na Jumatano Januari 29.
FA CUP Raundi ya 4, [Saa za Bongo]
Ijumaa Januari 24
22:45 Arsenal v Coventry
23:00 Nottingham Forest v Preston
Jumamosi Januari 25
15:45 Bournemouth v Liverpool
[Zote Saa 18:00]
Birmingham v Swansea
Manchester City v Watford
Wigan v Crystal Palace
Rochdale v Sheffield Wednesday
Southend v Hull City
Port Vale v Brighton
Huddersfield v Charlton or Oxford
Southampton v Yeovil
Bolton v Cardiff
Sunderland v Kiddrminister
[Saa 20:30]
Stevenage v Everton
Jumapili Januari 26
16:00 Sheffield United v Fulham
18:30 Chelsea v Stoke
CREDIT TO SOKA IN BONGO
Tags
SPORTS NEWS