HICHI NDICHO ATAKACHO FANYA ANNA PETER KATIKA SIKU YAKE YA KUZALIWA.

clip_image002Tarehe 27 January mimi Anna Peter ambaye ni mtangazaji wa East Africa Radio, mwanzilishi wa kampeni ya kusaidia kinamama na watoto wenye matatizo mbalimbali katika jamii 'Saidia Mama',  na mwimbaji pia nitakuwa nasherehekea siku yangu ya kuzaliwa.

“Mwaka huu nimeamua nitumie sauti yangu ambyo Mungu amenibariki kushare na Wasichana na wanawake wenzangu kokote pale duniani ujumbe huu 'Tunaweza' ambao wimbo wake utatoka rasmi siku hiyo tarehe 27”.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post