UCL: MANCHESTER UNITED NA REAL SOCIEDAD HAKUNA MBABE, MAN CITY YAUA 5

clip_image002[4]Nafasi ya Pekee: Robin van Persie akikosa penalt ya pili akiwa na Manchester United

Robin van Persie amekosa penalt ambayo ilipatikana baada ya ashley young kuchezewa ndivyo sivyo kwenye eneo la hatari na Javier Hernandez alikosa nafasi ya wazi na kupaisha mpira juu ya goli baada ya kupokea pasi maridadi iliyopigwa na Kagawa na kufanya matokeo ya mchezo huo kwenda Suluhu hadi mwisho wa mchezo.

clip_image002TAHARUKI: Javier Harnandez akipaisha mpira juu ya goli mita chache nje ya sita, alitakiwa kufunga

Vijana wa David Moyes's walitengeneza nafasi nyingi za kufunga ambazo zingewapa ushindi leo hii lakini hawakuzitumia ipasavyo hatari zaidi ni kwa mchezaji Marouane Fellaini kupatiwa kadi nyekundu nakutolewa nje.

Van Persie pia aligogesha mwamba wa pembeni na kukosa kufunga goli ambalo lingeipa point tatu Manchester united dhidi ya wahispania Real Sociedad.

clip_image002[6]AKIANGUKA CHINI: Ashley Young aanguka chini baada ya kushikwa na mchezaji wa Real Sociedad.clip_image002[8]Mchezaji huyu wa Manchester United amekuwa na rekodi ya kujiangusha hasa katika eneo la hatari kama alivyofanya leo dhidi ya Sociedad na kupewa penalty.clip_image002[10]SIBAHATI: Van Persie Akigonga mwamba wa pembeni katika harakati za kutafuta goli.clip_image002[12]Juu Juu nakuondoa mbali: Marouane Fellaini akipiga kichwa kuokoa hatari langoni mwa timu ya Manchester United

MATOKEO KWA UJUMLA

Real Sociedad
0
Man United
0
Paris SG
1
Anderlecht
1
Man City
5
CSKA Moscow
2
Viktoria Plzen
0
Bayern Munich
1
 
Shakhtar
0
Bayer
0
Olympiacos
1
Benfica
0
København
1
Galatasaray
0
Juventus
2
Real Madrid
2
Wednesday, November 6
Zenit
8:00 PM
Porto
Barcelona
10:45 PM
Milan
Dortmund
10:45 PM
Arsenal
FC Basel
10:45 PM
Steaua Bucuresti
Chelsea
10:45 PM
Schalke 04
Napoli
10:45 PM
Marseille
Atlético Madrid
10:45 PM
Austria Wien
Ajax
10:45 PM
Celtic
All times are in Tanzania Time

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post