NEW AUDIO:: NEY WA MITEGO - NAKULA UJANA

clip_image002
Mkali wa michano nchini Tanzania anayetamba na ngoma “Salam Zao”, Ney Wa Mitego  leo hii Ameachia ngoma mpya iitwayo “Nakula Ujana”. 
Ngoma hiyo mpya imefanyikia katika studio kali ya Master Jay Records (MJ Records) chini ya producer Marco Chali na producer Mr.T Touch, usikose kusikia ngoma hiyo mpya bofya kitufe cha play kwa kusikiliza na Unaweza kuidownload

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post