Lori linalofanya kazi ya usafirishaji wa mabomba ya gesi kutoka Mtwara hivi punde limapata Ajali mbaya eneo la Kijiji cha Mnolela lindi vijijini.
Lipota wetu ametujuza kuwa Gari hilo limepinduka na kusababisha mtu mmoja kupoteza maisha na gari hilo kuumia vibaya.
Picha na Brian Mwakatuma – Mnolela
Tags
HABARI ZA KITAIFA