YANGA SIMBA NGOMA DROO, WENGI WAZIMIA

clip_image001Shabiki mwananke wa Yanga akitolewa kwenda kupata huduma ya kwanza baada ya kuzimia alipokuwa akishagilia bao la pili dhidi ya watani wao wa jadi Simba katika mechi ya  Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Timu hizo zimetoka sare ya mabao 3-3.Shabiki mwingine wa Yanga akiwa amezimiaWapenzi wa Yanga wakishangilioaKikosi cha Yanga kilichopepetana na SimbaKikosi cha Simba kilichocheza na YangaYanga wakishangilia ushindiShabiki wa Simba akiwa amezimiaKipa wa Simba akishukuru mungu baada ya kusawazisha mabao matatu.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post