Mshehereshaji wa Mjadala wa wazi ulioandaliwa na Umoja wa Mataifa wenye kauli mbiu "The Future We Want" katika kuadhimisha wiki ya Umoja wa mataifa kusheherekea miaka 68 ya kuanzishwa kwa Umoja huo akiwatambulisha Wachokonozi wa Mada Meza kuu Mh Janeth Mbene, Naibu waziri wa Fedha (wa pili kushoto) Bi. Dorothy Usili, Mwakilishi Msaidizi wa UNFPA ( wa pili kulia), Paul Mashauri Mwenyekiti wa East Africa Speakers Bureau ( wa kwanza kulia) na Dakta. Lwidiko Mhamilawa, Mwenyekiti wa Asasi ya Vijana wa Umoja wa Mataifa (YUNA).

Pichani juu na chini ni Naibu Waziri wa Fedha Bi. Janeth Mbene akitoa mada yake juu ya mstakabali wa Vijana katika kupambana na tatizo la Ajira nchini na nafasi ya Serikali katika kuwasaidia vijana kujikwamua kutoka katika lindi la umaskini.
Mwenyekiti wa East Africa Speakers Bureau Bw. Paul Mashauri akiwaslisha mada yake juu ya Ujasiriamali na stadi za maisha kwa vijana ambapo pia amewasisitiza umuhimu wa Vijana wa kutokukata tamaa kwenye biashara.
Pichani juu na chini ni Naibu Waziri wa Fedha Bi. Janeth Mbene akitoa mada yake juu ya mstakabali wa Vijana katika kupambana na tatizo la Ajira nchini na nafasi ya Serikali katika kuwasaidia vijana kujikwamua kutoka katika lindi la umaskini.
Mwenyekiti wa East Africa Speakers Bureau Bw. Paul Mashauri akiwaslisha mada yake juu ya Ujasiriamali na stadi za maisha kwa vijana ambapo pia amewasisitiza umuhimu wa Vijana wa kutokukata tamaa kwenye biashara.
Tags
HABARI ZA KITAIFA