POST HII IMELETA UTATA FACEBOOK::”UMALAYA WAMPONZA TUNDU LISU…APATA KIPIGO KIKALI TOKA KWA WANANCHI”

clip_image002Facebook  kuna  vituko  sana.Nilikuwa  katika  upekuzi  wangu  wa  kawaida  mtandaoni, nikaona si mbaya  nikiingia  facebook ili nione  dunia  inaendeleaje.

Ndani  ya  facebook  kuna  ma-group  mengi  ambayo  nayapenda  likiwepo  hili  la  jamii forum halisi.Nilipolifungua, post  ya  juu kabisa  ilikuwa  ni FUMANIZI  LA  TUNDU  LISU..

PICHA  YA   JUU  NDO  POST  YENYEWE:

Post  hiyo  ilikuwa  inasimulia  umalaya  wa  Tundu  Lissu  na  jinsi  alivyochaniwa  shati  lake  baada  ya  kufumaniwa  na  wananchi....

Niliduwaa  kwa  muda  huku  nikiwa  siyaamini  macho  yangu...Baada  ya  kuingalia  picha  ilyopachikwa, niligundua   kwamba  huo  ni  uzushi  kwa  sababu  picha  naifahamu..

Ni  picha  iliyochukuliwa  jijini Arusha  wakati  wa  vurugu  za  CHADEMA  na  POLISI.

Baada  ya  post  hiyo, kilichofuata  kwa  chini  ni  mvua  ya  matusi  kwa  aliyetoa  habari  hiyo.SOURCE: MPEKUZIHURU.COM

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post