Title: LIJUE JINA LA MTOTO WA NAKAAYA ALIYEZALIWA JUMAMOSI ILIYOPITA
Author: Unknown
Rating 5 of 5
Des:
Jumamosi iliyopita ya tarehe 5 msanii wa bongo fleva NAKAAYA SUMMARY mungu alimjalia kujifungua salama na kupata mtoto wa kiume na kumpa j...
Jumamosi iliyopita ya tarehe 5 msanii wa bongo fleva NAKAAYA SUMMARY mungu alimjalia kujifungua salama na kupata mtoto wa kiume na kumpa jina la KAI SAMUEL.
Leo kupitia account yake ya Instagram amepost picha hii ya mtoto na kumuandikia maneno mzuriiiiiiiii
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.