ANGALIA MAHOJIANO YA DR. SLAA KATIBU MKUU WA CHADEMA

Karibu katika sehemu mbili za mahojiano na Katibu Mkuu wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzanzia, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dr. Willbrod Slaa yaliyofanyika Septemba 22, 2013 Washington DCclip_image003Katibu Mkuu wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzanzia, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dr. Willbrod Slaa akihojiwa na mwanaharakati wa changamoto yetu Mubelwa Bandio

Kati ya aliyozungumza ni pamoja na

  1. Hali ya kisiasa nchini Tanzania hivi sasa
  2. Nini walichomaanisha waliposema "nchi haitatawalika"?
  3. Ni kweli kuwa CHADEMA inaamini kuwa Tanzania hakuna amani?
  4. Kuna namna ambavyo tunaweza kutenganisha "siasa na maamuzi ya serikali"?
  5. Anaonaje tofauti ya UTENDAJI WA BUNGE baina ya kipindi alichokuwepo yeye na hili la sasa?
  6. Vurugu zinazotokea bungeni.....Kwanini?
  7. Harakati za kuungana na wapinzani wengine kupinga mchakato wa katiba..."hamjifuniki wakati kumekucha?"
  8. Maswali ya wasikilizaji na wasomaji wetu
  9. Kwanini CHADEMA inahusishwa na vurugu katika mikutano yake?
  10. Kwanini hawajatoa mkanda wa mauaji ya Arusha waliosema wanao?
  11. Kwanini hawawajibishi baadhi ya wabunge ama wanachama wanaoonekana kuasi chama?
  12. Maendeleo Tanzania. Yanapangwa kulenga maendeleo mjini?yanagawa umaskini kuwa wa mjini na vivjijini?

Na mengine mengi

KARIBU UUNGANE NASI

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post