Mmoja wa Wasanii mahiri ambaye anafanya vyema kwenye tamasha la serengeti fiesta 2013,Rachael kutoka THT akionesha umahiri wake wa kuimba na kukata mauno jukwaani,huku shangwe zikiwa zimetawala kila kona ya uwanja usiku huu ndani ya uwanja wa Jamhuri,mkoani Morogoro.Sehemu ya mashabiki wa tamasha la serengeti fiesta 2013 wakishangilia vilivyo usiku huu.MKali wa mangoma kutoka Clouds FM,Dj Zero akikamua jukwaani usiku huu wakati tamasha la serengeti fiesta 2013 likiendelea.Ni noma saana kwa mashabiki usiku huu wakato tamasha la serengeti fiesta 2013 likiendelea.Mwanadada miwngine ambaye anafanya vyema kwenye anga ya muziki wa Bongofleva, Linah akiimba jukwaani usiku huu kwenye tamasha la serengeti fiesta 2013 ndani ya uwanja wa Jamhuri,mkoani Morogoro. Ni burudani asilimia mia kila kona ya uwanja wa jamhuri usiku huu.Ni zao lingine la vipaji kuåitia shindano la Serengeti Fiesta supa nyota 2012,ambaye kwa sasa anafanya vyema sana katika muziki wa bongofleva,anaitwa Neylee akiimba jukwaani usiku huu.Wadau wakifuatilia yanayojiri kwenye jukwaa la serengeti fiesta usiku huu.Na sisi tupo pia na wakazi wa Morogoro noma saana usiku huu.Pichani kati ni msanii Rachael na skwadi lake wakilishambulia jukwaa la fiesta usiku huu.
Home
»
HABARI ZA WASANII
» TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 LIKIENDELEA USIKU HUU NDANI YA UWANJA WA JAMHURI MKOANI MOROGORO.
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.