Mshindi wa BET award kwenye kipengele cha Best African act “Ice Prince” kutoka Nigeria ameshirikiana na msanii kutoka Bad Boys record “French Montana” kwenye wimbo wake mpya. Ngoma hii “I swear” inatarajiwa pia kuwa ndani ya album ya Ice Prince “Fire of Zamani” itakayotoka baadae mwezi huu baada ya kusogeza mbele tarehe ya kuitoa. Sikiliza na download hapa
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.