Unknown Unknown Author
Title: WAZIRI MAGHEMBE ATEMBELEA MIRADI YA MAJI NEWALA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mkuu wa Wilaya ya Newala mkoani Mtwara, Christopher Magala (kulia kwa Waziri) akimpa maelezo juu ya Mashine za kusukuma maji zilizopo katika...

clip_image001Mkuu wa Wilaya ya Newala mkoani Mtwara, Christopher Magala (kulia kwa Waziri) akimpa maelezo juu ya Mashine za kusukuma maji zilizopo katika chanzo cha maji cha Mitema - Mkunya , Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe wakati alipofanya ziara ya kukagua miradi ya maji Wilayani humo hivi karibuni.Waziri akitembezwa katika matanki ya kuhifadhia maji.Ziara iliendeleaAkiagana na viongozi mbalimbali wilayani baada ya kumaliza ziara.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top