Unknown Unknown Author
Title: WAFANYAKAZI WATATU WA BENKI WASHTAKIWA KWA WIZI WA MILIONI 328
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Na RICHARD MUNGUTI. WAFANYAKAZI watatu wa benki ya Standard Chartered wameshtakiwa mahakamani Nairobi kwa kosa la kuiba Sh328 milioni kuto...

clip_image001

Na RICHARD MUNGUTI.

WAFANYAKAZI watatu wa benki ya Standard Chartered wameshtakiwa mahakamani Nairobi kwa kosa la kuiba Sh328 milioni kutoka kwa benki hiyo.

Betty Sande, Mike Oudo na Collins Omunga wanadaiwa kutekeleza wizi huo Julai 8, katika makao makuu ya benki hiyo.

Wamekanusha mashtaka na wakawekwa rumande hadi kesho Jumanne.

SORCE: EDDYMOBLAZE BLOG

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top