Na RICHARD MUNGUTI.
WAFANYAKAZI watatu wa benki ya Standard Chartered wameshtakiwa mahakamani Nairobi kwa kosa la kuiba Sh328 milioni kutoka kwa benki hiyo.
Betty Sande, Mike Oudo na Collins Omunga wanadaiwa kutekeleza wizi huo Julai 8, katika makao makuu ya benki hiyo.
Wamekanusha mashtaka na wakawekwa rumande hadi kesho Jumanne.
SORCE: EDDYMOBLAZE BLOG
Tags
HABARI KIMATAIFA