Unknown Unknown Author
Title: SIMBA YABANWA NA MAAFANDE WA JESHI TABORA, YATOKA 2-2 NA RHINO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Wachezaji wa Simba wakimpongeza Jona Mkude Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi leo SIMBA SC imelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na wenyeji...

clip_image001Wachezaji wa Simba wakimpongeza Jona Mkude Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi leo

SIMBA SC imelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na wenyeji Rhino Rangers kwenye Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi, Tabora katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mabao yote ya Simba SC yalifungwa na kiungo Jonas Mkude dakika za 10 na 38 kwa penalti, wakati ya Rhino yalifunwa na Iman Noel dakika 36 na Saad Kipanga dakika ya 64.

SOURCE: BINZUBEIRY

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top