SIMBA YABANWA NA MAAFANDE WA JESHI TABORA, YATOKA 2-2 NA RHINO

clip_image001Wachezaji wa Simba wakimpongeza Jona Mkude Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi leo

SIMBA SC imelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na wenyeji Rhino Rangers kwenye Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi, Tabora katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mabao yote ya Simba SC yalifungwa na kiungo Jonas Mkude dakika za 10 na 38 kwa penalti, wakati ya Rhino yalifunwa na Iman Noel dakika 36 na Saad Kipanga dakika ya 64.

SOURCE: BINZUBEIRY

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post