MAKAO MAKUU YA AZAM TV MBIONI KUKAMILIKA

clip_image001Mafundi wakiendelea na ujenzi wa Makao Makuu ya Kituo kipya cha Televisheni cha Aam TV, eneo la Tazara, Dar es Salaam. Kituo hicho kimeingia mkataba wa kurusha matangazo ya mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Yataanza kurushwa Septemba mwaka huu. PICHA NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post