RAY C A.K.A KIUNO BILA MFUPA KUREJEA STEJINI HIVI KARIBUNI, SIKILIZA INTERVIEW YAKE AKIFUNGUKA

clip_image001Baada ya kuwa Kimya kwa muda mrefu, hitmaker wa Niwe Nawe Milele, Rehema Chalamila a.k.a Ray C anatarajia kurejea tena kwa kishindo kwenye muziki.

Ray C anatarajia kuonekana rasmi kwenye shughuli za kawaida na za muziki wiki ijayo, Bongo 5 imezungumza naye leo kuhusu maisha yake saa hivi, alivyobadilika na ujio wake mpya kimuziki.

Sikiliza Mwenyewe Mahojiano hayo kwa kubofya hapo chini…..

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post