Unknown Unknown Author
Title: RAY C A.K.A KIUNO BILA MFUPA KUREJEA STEJINI HIVI KARIBUNI, SIKILIZA INTERVIEW YAKE AKIFUNGUKA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Baada ya kuwa Kimya kwa muda mrefu, hitmaker wa Niwe Nawe Milele, Rehema Chalamila a.k.a Ray C anatarajia kurejea tena kwa kishindo kwenye m...

clip_image001Baada ya kuwa Kimya kwa muda mrefu, hitmaker wa Niwe Nawe Milele, Rehema Chalamila a.k.a Ray C anatarajia kurejea tena kwa kishindo kwenye muziki.

Ray C anatarajia kuonekana rasmi kwenye shughuli za kawaida na za muziki wiki ijayo, Bongo 5 imezungumza naye leo kuhusu maisha yake saa hivi, alivyobadilika na ujio wake mpya kimuziki.

Sikiliza Mwenyewe Mahojiano hayo kwa kubofya hapo chini…..

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top