Mkuu wa Wilaya ya Masasi,Farida Mgomi ambae alikuwa mgeni rasmi
siku ya tatu ya maonesho hayo katika viwanja vya Ngongo Manispaa ya Lindi akikagua kilimo cha Alizeti katika Banda la wilaya ya Kilwa huku akipewa maelezo mafupi na wataalam wa kilimoJENGO LA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA LIKIWA KATIKA HATUA ZA UMALIZIAJI KWA AJILI YA NANE NANE MWAKANI 2014
Mkuu wa wilaya ya Masasi akinunua korosho zao kuu la biashara kwa
mikoa ya lindi na mtwara katika Banda la wilaya ya Newala
Tags
HABARI ZA KITAIFA