MISULI YA KEVIN YONDAN NI BALAA, CHEKI HAPA

clip_image001Misuli ya beki wa Yanga SC na mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu uliopita, Kevin Patrick Yondan 'Vidic' inavyoonekana baada ya kuumia jana kufuatia kugongana na mshambuliaji wa Azam FC, John Raphael Bocco 'Adebayor' katika mchezo wa jana wa kuwania Ngao ya Jamii baina ya timu hizo. Yanga ilishinda 1-0.clip_image001[4]

PICHA NA HABARI KWA HISANI YA BIN ZUBEIRY

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post