Diamond Platinum baada ya kumaliza kutambulisha video ya wimbo wake mpya Number One kwa heshima aliamua kumwita mbele msanii mkongwe 'Ngurumo' na kumkabidhi gari ya aina ya Funcargo
Sababu za kumpa gari alisema amesikitishwa sana baada ya kusikiliza Ngurumo toka enzi za ujana wake hajawahi kumiliki gari mpaka kustaafu kwakeMWONEKANO WA MBELEMWONEKANO WA NDANI MBELEMWONEKANO WA NDANI NYUMA
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.