Unknown Unknown Author
Title: “MBEGU ZA KIUME ZINANG’ARISHA MENO”HAYO YAMESEMWA NA MUIGIZAJI MAARUFU, SOMA HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Muigizaji mashuhuri toka Nollywood/Ghollywood aitwaye Yvonne Okoro hivi karibuni amekuwa kwenye majibizano makali na kupitia mtandao wa twit...

clip_image001Muigizaji mashuhuri toka Nollywood/Ghollywood aitwaye Yvonne Okoro hivi karibuni amekuwa kwenye majibizano makali na kupitia mtandao wa twitter mara baada ya kuandika maneno yenye mtazamo wa kingono.
Muigizaji huyo wa Nollywood/ Ghollywood akijiamini aliandika kwenye twitter akisema “Njia nzuri ya kuyafanya meno ya mtu kuwa meupe ni mbegu za kiume”.

Kama ilivyotarajiwa, mashabiki waliitafsiri tweet hiyo kwenye kiwango kingine, wakianza kumshambulia na kumuita role modo mbaya.
Na gafla akakimbilia kujilinda kutoka kwa mashabiki wengine wenye msimamo mkali.

Kiukweli tweets zake imeonekana kuwavuruga baadhi ya mashabiki zake sababu yeye ni kioo cha jamii huku baadhi wengine wakifikia hatua ya kumuita majina ya ajabu.

Ila muigizaji huyo aliitetea hoja yake kwa nguvu zote....clip_image001[11]clip_image001[9]clip_image001[13]

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top