Unknown Unknown Author
Title: BRANDTS AIONGOZA TIMU YAKE YA YANGA KUHANI MSIBA WA BABA WA NIZAR KHALFANI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts (kushoto) pamoja na wenzake wakimpa pole Nizar Khalfan (kulia mwenye kofia). Nizar (kushoto) akisalimian...

clip_image001Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts (kushoto) pamoja na wenzake wakimpa pole Nizar Khalfan (kulia mwenye kofia). Nizar (kushoto) akisalimiana na Said Bahanuzi.…Haruna Niyonzima akimpa pole Nizar. Pembeni ni Jerry Tegete.Baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiwa msibani.Nizar akiongea na kocha wake pamoja na alioambatana nao.Brandts akimuaga Nizar.

KOCHA Mkuu wa Yanga Ernie Brandts leo amekiongoza kikosi chake kufika nyumbani kwa kiungo wake Nizar Khalfan ambaye alifiwa na baba yake mzazi juzi jioni.

Nizar alifiwa na mzazi wake huyo aliyejulikana kwa jina la Khalfan Khalfan Jumamosi iliyopita baada ya kuugua kwa muda mfupi na kulazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimmbili ambako umauti ulimkuta.

Mara baada ya kutua nyumbani kwa Nizar kikosi hicho kikiwa na nyota mbalimbali walitoa mkono wa pole kwa Nizar pamoja na mdogo wake Razak Khalfan ambaye ni kiungo wa Coastal Union ya Tanga.

PICHA KWA HISANI YA GPL

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top