AUNT EZEKIEL AFUTARISHA NYUMBANI KWAKE:TUKIO ZIMA KATIKA PICHA

clip_image001Aunt Ezekiel akiwa pamoja na wageni wake akifuturu

Staa maarufu wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel jana aliandaa futari na kuwakaribisha ndugu jamaa na marafiki nyumbani kwake Mwanyamala Garage ambapo wasanii wenzake kama Jacob Steven ‘Jb’ Steve Mengele na Hartman Mbilinyi walijumuika katika mualiko huo.

Baadhi ya  wageni walioalikwa wakijiandaa kwa ajili ya kupata futari hiyoStaa, maarufu wa filamu Jacob Steven ‘Jb’ akipata Futari…Baadhi ya  wageni walioalikwa wakijiandaa kwa ajili ya kupata futari hiyoBaada ya futari JB na Aunt Ezekiel wakiwa katika nyuso za furaha.Baadhi ya maanjumati aliyoandaa Aunt.

Picha kwa hisani ya global publishers

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post