ASKARI SABA WALIOKUFA DARFUL WAAGWA KIJESHI MJINI DARFUL, TAZAMA HAPA

clip_image001John Kivunge offisa wa Tanzania akitoa maelezo wakati wa Utoaji heshima kwa askari walinda amani wa Tanzania waliokufa mjini darful kwenye shambulio la ghafla. clip_image001[7]Askari wakitoa heshima zao za mwisho kwa miili ya wanajeshi wenzao waliokutwa na Mauti mjini Darfulclip_image001[9]Maiti za Askari zikipandishwa kwenye gali tayari kwa kusafirishwa

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post