UWEPO WA GONZALO HIGUAIN NDANI YA JIJI LA LONDON KUJIUNGA NA ARSENAL

clip_image001Higuain akisaini autograph ya shabiki wa Arsenal katika uwanja wa ndege wa Heathrow London. clip_image001[7]Gonzalo Higuain ameonekana akiwasili jijini London tayari kwa ajili ya vipimo vya afya ili kukamilisha uhamisho wa kujiunga na klabu ya Arsenal.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post