Unknown Unknown Author
Title: UPDATES MSIBA WA MANGWEA: KIBAKA ANUSURIKA KUUWAWA UWANJA WA TAIFA ASKARI WA MWOKOA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Huku watu wakiwa katika Majonzi ya kupokea mwili wa kipenzi chao mwanamuziki wa bongo fleva Albert Mangwea kumbe wapo walioenda kwa dhamira ...

clip_image002Huku watu wakiwa katika Majonzi ya kupokea mwili wa kipenzi chao mwanamuziki wa bongo fleva Albert Mangwea kumbe wapo walioenda kwa dhamira nyingine ya Wizi. Huyu ni mmoja kati ya vijana hao alienusurika kuuwawa na wananchi wenye asila kali pale alipobainika akijaribu kuiba na kuokolewa na Askari wa Ulinzi uwanjani hapo.

R.I.P Mangwea

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top