UPDATES MSIBA WA MANGWEA: KIBAKA ANUSURIKA KUUWAWA UWANJA WA TAIFA ASKARI WA MWOKOA

clip_image002Huku watu wakiwa katika Majonzi ya kupokea mwili wa kipenzi chao mwanamuziki wa bongo fleva Albert Mangwea kumbe wapo walioenda kwa dhamira nyingine ya Wizi. Huyu ni mmoja kati ya vijana hao alienusurika kuuwawa na wananchi wenye asila kali pale alipobainika akijaribu kuiba na kuokolewa na Askari wa Ulinzi uwanjani hapo.

R.I.P Mangwea

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post