TOO SAD:WAPENZI WAJINYONGA KWA PAMOJA BAADA YA KUKATALIWA KUOANA

clip_image002Mkasa uliotokea nchini Congo ..Wapenzi hawa wawili waliamua kuchukua jukuma la kujinyonga kwa  kujininginiza  kwenye mti hadi kufa baada ya wazazi wa  mvulana kukataa mtoto wao asimuoe msichana huyo..Baada
ya jitihada zao za kuwashawishi kushindikana  basi waliamua kuchukua hatua hiyo ya kujinyonga. Wazazi tuwe makini na maamuzi yetu mbele ya watoto

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post