TAARIFA YA MMILIKI WA OFFICIAL WEBSITE BOSSNGASA.COM KUVAMIWA NA MAJAMBAZI:

clip_image003Taarifa ya wizi: Usiku wa kuamkia tar 11/6/2013 ndugu yenu Boss Ngasa  nimekutana na  Majanga baada ya kuvamiwa wezi nyumbani kwangu ninapoishi maeneo ya Arae D Dodoma:
  Wezi hao waliovamia nyumbani kwangu ninapoishi walivunja geti kubwa la nyumba usiku wa manane na kufanikiwa kuingia ndani na kuiba Piki piki aina ya SUN LG T 126 BHN, piki piki ilikuwa imefungwa yani imelokiwa kwa hiyo kunauwezekano walikuwa wengi yani ni zaidi ya mmoja na kuibeba juu juu tena  kimya kimya bila mtu yeyote kushituka:
OMBI  kwa yeyote atakayeiona au mazingira yeyote ya pikipiki ya wizi ambaye haielewi tafadhali naomba atoe taarifa kituo cha police au awasiliane na mimi kupitia 0716 909567/ 0766 909567:

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post