SUPERFEO EXPRESS YAZINDUA SAFARI ZA MBINGA–DAR ES SALAAM LEO HII

BAADA YA KUKAMILIKA KWA BARABARA KIWANGO CHA LAMI SONGEA HADI MBINGA SUPER FEO WAJIKITA KIBIASHARA:clip_image003HAPA ni Kituo cha Mabus Mbinga: Angalia Mabus ya  Superfeo Express ya Songea, yakiwa yamejipanga kabla ya uzinduzi tayari kwa safari za kutoka Mbinga - Dar -Mbinga. Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbinga,  Bw.Idd Mponda akikata utepe jana kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za Mbinga -Dar -Mbinga kuanzia leo Juni 12, 2013.Mkurugenzi wa Superfeo Express, Bw. Omary Msigwa (wa tatu kushoto)  washiriki wa hafla hiyo wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Ruvuma, Bw. Oddo Mwisho, (wa kwanza  kushoto) wakishangilia tukio hilo la kihistoria jana wilaya ya Mbinga na mkoani Ruvuma kwa ujumla.
(Picha kw Hisani ya Muhidin Amri, Maelezo Juma Nyumayo)

Credit to: RUVUMAPRESS

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post