PICHA ZA KWANZA ZA MTOTO WA P-FUNKY ALIYEZAA NA SUPER STAR KAJALA!!

clip_image002Anaitwa Paula mtoto wa mama mwenye talent na baba mwenye talent, so vipi kuhusu mtoto?. Ofcoz hawezi kukosa kuwa na kipaji na yeye pia. Baba yake ni famous producer P Funk na mama yake ni one of the best actress hapa bongo..

Swali la kizushi ni kwamba atafuata music kwa baba au movie kwa mama.?

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post