PICHA: CHECK REHEARSAL NIGHT YA SHOW YA MWANAFA … “THE FINEST”

clip_image001Jana usiku, mazoezi ya show yalikuwa yakiendelea katika ukumbi wa NATIONAL MUSEUM sehemu ambayo MwanaFA‘s show ya THE FINEST itafanyikia … At our presence, band nzima yaKILIMANJARO (Wananjanje), MwanaFA, Mandojo & Domokaya, Ben Pol, Dully Sykes, Linah, Maua na wengineo  walikuwa wanajiandaa vyema kwa ajili ya Corporate Hip-Hop show hiyo itakayofanyika leo kuanzia saa 3 usiku …
Tazama baadhi ya picha zikiwaonesha wasanii hawa katika rehearsal hiyo ;
IMG_0008IMG_0021IMG_0027IMG_0029IMG_0023IMG_0038IMG_0033IMG_0030IMG_0049
IMG_0071IMG_0052Mzee Moddy with his Guitar !
IMG_0068IMG_0113IMG_0054IMG_0097The show is happening tonite!!!! Kama bado hujakamata ticket yako … Huu ndio wakati … See y’all There …#TheFinest

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post