" NGASSA SIMBA WAMENIZINGUA, ONGEA NA BIN KLEB BASI NIJE KUFUNDISHA YANGA B...ITATISHA MBAYAA"

clip_image001Kocha aliyetupiwa virago Simba SC, Mfaransa Patrick Liewig akizungumza na aliyekuwa mchezaji wake katika timu hiyo, Mrisho Ngassa ambaye amehamia Yanga SC jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Liewig alikwenda Taifa kukutana na wachezaji wake aliowafundisha Stellah Abidjan ambao wapo katika kikosi cha Ivory Coast na Ngassa alikuwa mazoezini na timu ya taifa, Taifa Stars. katikati ni Mwandishi wa Habari.

CREDIT TO BINZUBER

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post