Unknown Unknown Author
Title: HICHI NDICHO ALICHOKIANDIKA MH. ZITTO KABWE KUHUSU KAULI YA PINDA “TUTAWAPIGA TU”
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Baada ya mh.waziri mkuu mizengo pinda kutoa ruhurusa kwa polisi kupiga wananchi..Mh mbunge zitto kabwe nae atoa lake juu ya mh.waziri mkuu...

clip_image001Baada ya mh.waziri mkuu mizengo pinda kutoa ruhurusa kwa polisi kupiga wananchi..Mh mbunge zitto kabwe nae atoa lake

juu ya mh.waziri mkuu…Kupiitia tweet yake Zitto alisema “Viongozi wa kisiasa lazima wajue kuwa Kakiba ya maneno yao .kuropoka hovyo hovyo wakati kama huu wenye taharuki ni hatarii sana”..Aliongezea “Ni lazima viongozi wawajibishwe kwa maneno wanayotamka.Mh. Pinda anahamasisha ukiukwaji wa katiba na sheria Asipowajibishwa.!”

HIZI NDIZO TWEET ZA MH.ZITTO KABWEtweetzitto

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top