Unknown Unknown Author
Title: HATIMAE MELI YA AZAM KILIMANJARO IV YATUA MAJINI MJINI ZANZIBAR LEO, CHEKI MAPOKEZI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Boti mpya ya kisasa ya Azam Marine, Kilimanjaro IV ikiwa imeshushwa katika bahari ya Hindi eneo la Zanzibar  mchana wa leo tayari kuanza kaz...

clip_image002Boti mpya ya kisasa ya Azam Marine, Kilimanjaro IV ikiwa imeshushwa katika bahari ya Hindi eneo la Zanzibar  mchana wa leo tayari kuanza kazi kwa safari za Dar es Salaam na Zanzibar.Mmiliki wa Makampuni ya S.S. Bakhresa, Alhaj Said Salim Awadh Bakhresa (katikati) akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri wa Maji Zanzibar (ZMA) na kushoto ni mmoja wa wafanyakazi wa kampuni yake, Jaffar Iddi Kilimanjaro IV kabla ya kushushwa kwenye Meli iliyoileta nchiniInashushwa...Inateremshwa majiniAzam Marine wamekarabati pia eneo la abiria kupumzika wakisubiri usafiri na mfumo mzima wa huduma hadi ofisi za kisasaOfisi mpya za Idara ya Uhamiaji Azam MarineOfisi mpya ya PolisiAbiria wanastarehe sasaBurudani kwenye Luninga kubwa wakati unangoja botiMeneja Mkuu wa Azam Marine, Omar Mohamed Said kushoto akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Kilimanjaro IVMzee Bakhresa alikuwa bize mpaka basi leoAnatazama Meli inavyoshushwaMwonekano wa Nje unapoelekea kupanda boti za Azam MarineNamna hiyo, kila kitu kinakwenda sawaMzee Bakhresa pembeni ya Abdulrazak, moja kati ya majembe ya Azam MarineBaaas, iwekeni hapo hapo na mtie nanga; Mzee Bakhresa akitoa maelekezo

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top