FEZA WA TANZANIA ANUSURIKA KUYAAGA MASHINDANO YA BIG BROTHER...KOKETSO NA LK4 KWAHERI

clip_image001FEZA azidi kupeta mjengoni....
Mtanzania FEZA amenusurika kutoka katika jumba la biggie baada ya kuwa up for possible eviction kufuatia kuwekwa kitanzini (nominated) Jumatatu iliyopita...
Koketso mshiriki kutoka South Africa na LK4 ambaye ni mshiriki kutoka Uganda wamekuwa washiriki wa tatu na wa nne kutoka katika jumba la Big Brother Africa baada ya Denzel na Huddah kuyaaga mashindano  wiki  iliyopita..clip_image002

Total: Hakeem = 6; Feza = 3; Dillish =3, Koketso = 2, LK4 = 1. (Total: 15 Votes)
Weekly Winners:
DStv Walka : Yvonne Sampson - Namibia
Uhuru Tablet: Tumi Maila -South Africa
HD PVR Winner: Theofridah Christian - Tanzania

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post