BREAKING NEWS: MUME WA KHADIJA KOPA AFARIKI DUNIA

576569_589244447775097_70302648_nMume wa Malkia wa Mipasho nchini Khadija Kopa, Jaffari Ally amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.Marehemu alikuwa anasumbuliwa na matatizo katika mfumo wa upumuaji na mpaka mauti yanamfika alikuwa amelazwa katika hospitali ya Lugalo jijini Dar. Mungu ailaze roho ya marehemu Jaffari Ally mahali pema peponi. Amen!

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post