Unknown Unknown Author
Title: MTOTO WA KING MAJUTO ANASA KURASA ZA MITANDAO YA KIJAMII ZINAZO TUMIA JINA LA BABA YAKE..!!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
MTOTO wa King Majuto '' Hamza King Majuto '' Baada ya kufanya mahojiano mafupi na mwandishi wa Masai Nyotambofu kupitia u...

clip_image002MTOTO wa King Majuto ''Hamza King Majuto'' Baada ya kufanya mahojiano mafupi na mwandishi wa Masai Nyotambofu kupitia ujumbe wa Simu ya mkononi, ''Hamza'' alikanusha kuwa baba yake hajawahi kujihusisha na mtandao wowote wa kijamii hivyo yeyote Anaetumia Jina la Baba yake kwenye mtandao wowote wa kijamii yeye atamfuatilia nakumchukulia hatua za kisheria maana Si sahihi kutumia jina la mtu bila ridhaa yake, Aidha kwenye Facebook, twitter, BBM, INSTERGRUM na mingiyo. Yeye atakomaa nao sheria itafuata mkondo wake. Baadhi ya kurasa alizo zibamba hizi hapa chini.KING MAJUTOHizi hapa juu na chini ndizo kurasa za facebook alizozinasa Hamza King Majuto zikitumia Jina la mchekeshaji nguli hapa nchini King Majuto kinyume cha Sheria.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top