Unknown Unknown Author
Title: BAADA YA VIFO VINGI, WASANII WAHAMASISHANA KUMRUDIA MUNGU
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
KUTOKANA na vifo vya mara kwa mara vya wasanii, staa wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema ni wakati wa wasanii kum...

clip_image001

KUTOKANA na vifo vya mara kwa mara vya wasanii, staa wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema ni wakati wa wasanii kumrudia Mungu.

Akizungumza na mwandishi  wetu hivi karibuni, Dude alisema kwa kipindi kifupi vimetokea vifo vingi vya wasanii tena wenye umri mdogo, hivyo anawataka wasanii wabadili mfumo wao wa maisha kwa kuachana na mambo maovu, anasa za dunia kwani hawajui siku wala saa ya kufariki dunia.
“Wasanii tunazidi kufa, juzi tumemzika Ngwea, leo tena Kashi wasanii tunatakiwa kufanya ibada, wenye sauti za kuimba wamwimbie Mungu kwani waliotangulia hawakujua kama watakufa, binafsi nimeanza kusali tangu nilipofiwa na mama yangu,alisema Dude.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top