REDD'S MISS LINDI 2013 KUPATIKA USIKU WA LEO

MISS LINDI WOTE 2Jumla ya Warembo Kumi watachuana Vikali kugombania taji hilo. wanyange hao wako kambini Hotelini hapo kwa mazoezi makali huku wakiongozwa na Redd’s Miss Lindi 2012.

Viingilio vimetajwa kuwa viti vya kawaida leo hii ni viti vya kawaida Tsh 10,000/= na VIP itakuwa 15,000/= na tiketi zimeanza kuuzwa toka asubuhi Hivyo wahi tiketi yako mapema ili ushuhudie show ya kihistoria katika mambo ya urembo katika mji wa Lindi.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post