Unknown Unknown Author
Title: RAIS JAKAYA KIKWETE KATIKA CHAKULA CHA MCHANA NA WACHEZAJI TAIFA STARS IKULU DAR ES SALAAM LEO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Nahodha wa timu ya taifa, Taifa Stars, Juma Kaseja Ikulu mjin...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Nahodha wa timu ya taifa, Taifa Stars, Juma Kaseja Ikulu mjini Dar es Salaam leo, wakati rais huyo alipowaalika wachezaji wa timu hiyo kwa ajili ya chakula cha mchana.Rais Kikwete akisalimiana na Amri KiembaRais Kikwete akisalimiana na Simon Msuva, huku Shomary Kapombe akijiandaa nayeRais Jakaya Kikwete akisalimiana na Ally Mustafa 'Barthez'Akisalimiana na Kocha Kim PoulsenHapa akiwahutubia wachezaji hao baada ya chakulaKatika picha ya pamoja na wachezaji wa StarsPicha ya pamoja na viongozi na wachezajiKaseja akichukua ushauri kwa Meneja wa Taifa Stars, Leopold Mukebezi kabla ya kwenda kutoa hotuba yake fupi kwa niaba ya wachezaji wenzakeRais akisalimiana na Tedi mapundaKutoka kulia kocha wa makipa, Juma Pondamali, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Saidia Stars Ishinde, Dk Ramadhani Dau, Nadir Cannavaro, Erasto Nyoni na Mrisho NgassaKaseja akiwa na Tedi MapundaKutoka kulia Kaseja, Ibrahim Masoud na CannavaroKocha Kim Poulsen akiondoka baada ya kusalimiana na Rais Kikwete, anayemfuatia ni CannavaroKhamis Mcha 'Vialli' akiondoka kwa furaha baada ya kusalimiana na Rais KikweteMwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi akisikiliza hotuba ya rais Kikwete, kulia kwake ni kocha Poulsen na Waziri wa Habari Utamaduni na Michezi, Dk Fenella MukangaraFrank Domayo kulia na Simon Msuva kushotoMrisho Ngassa kulia na Aggrey Morris kushoto

Mwinyi Kazimoto kulia na Haruna Chanongo kushoto

Shomary Kapombe kulia na Nadir Cannavaro kushoto

Meneja wa bia ya Kilimanjaro, wadhamini wa Taifa Stars, George Kavishe akiwa na Athumani Iddi 'Chuji' kulia na Shomary Kapombe kushoto

Picha kwa hisani ya BINZUBER

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top