MRADI MKUBWA WA MAJI KUTOKA MKOA WA PWANI WAANZA KUTEKELEZWA.

clip_image001Mabomba ya mradi wa kusafirisha maji kutoka Mkoani Pwani yakiwa yametandazwa kwenye barabara ya Bagamoyo tayari yakisubiri kuchimbiwa chini ili kupunguza ama kuondoa kabisa tatizo la maji linalo likabili jiji la Dar es Salaam kama yalivyokutwa na kamera ya mtandao huu leo.clip_image001[6]Kazi ya kulaza mabomba ikiendelea.clip_image001[8]Mafundi vijana wakitanzania wakiongozwa na mafundi wa kigeni kutoka China ndio walioonekana wakifanya kazi hiyo.clip_image001[10]Kufanikiwa kwa mradi huu kutaweza kupunguza ama kuondoa kabisa kero ya maji kwa jiji la Dar.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post